-
サマリー
activate_samplebutton_t1
あらすじ・解説
Karibu uungane na Padre Titus Amigu, Mtalaamu wa Maandiko Matakatifu kutoka Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), Jimbo Kuu la Mwanza, katika kipindi cha Ujumbe wa Bibilia, ikiwa ni muendelezo wa mada ya kukoseana na kusamehana na leo anamzungumzia mfalme Daud.
L'articolo Fahamu mafundisho ya mfalme Daudi kipindi cha Utawalawake. proviene da Radio Maria.