エピソード

  • Fahamu ujumbe wa Jubilei kuu unavyojieleza katika nembo yake
    2025/07/16

    Ni kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, tunapata mafundisho ya imani ya kanisa Katoliki kutoka kwa Baba zetu wa kiroho, hapa Pdre Leonard Maliva, Paroko wa Paroka ya Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo Katoliki Iringa anaendelea kufundisha kuhusu ujumbe wa Jubilei Kuu 2025. Mimi ni mtangazaji wako Esther Magai Hangu

    L'articolo Fahamu ujumbe wa Jubilei kuu unavyojieleza katika nembo yake proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    58 分
  • Je unaifahamu nembo ya Jubilei Kuu 2025?
    2025/07/16

    Karibu katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, mwezeshaji ni Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga – Isimani na Mkurugenzi wa Utume wa walei Jimbo Katoliki Iringa, anaendelea kufundisha juu ya Ujumbe wa Jubilei 2025, akiangazia ujumbe huu unavyojieleza kwenye nembo yake. Mtangazaji ni Esther Magai Hangu

    L'articolo Je unaifahamu nembo ya Jubilei Kuu 2025? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    51 分
  • Je, Unafahamu Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani?
    2025/07/15

    “Je! Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani?”, Hili ni swali ambalo linajibiwa katika kipindi hiki cha Maswali Yahusuyo Imani. Karibu uungane na Fratel Benedict Luvanga kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki Ruaha, Jimbo la Iringa ili upate majibu ya kina.

    L'articolo Je, Unafahamu Cheo cha Ukardinal kimetoka wapi na kina maana gani? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    14 分
  • Karibu upate mafundisho juu ya Sakrament ya Kitubio.
    2025/07/15

    Karibu uungane na Fratel Amos Alexander Bwibonela, kutoka Seminari kuu ya Kitaifa ya Familia Takatifu, iliyopo Mwendakulima Jimbo Katoliki Kahama, katika Kipindi cha Mbiu ya Heri, Ambapo anazungumzia juu Sakrament ya Kitubio.

    L'articolo Karibu upate mafundisho juu ya Sakrament ya Kitubio. proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    25 分
  • Je! wafahamu kuwa heshima ya mtoto huchotwa kutoka kwa mzazi?
    2025/07/15

    Karibu msikilizaji usikilize kipindi cha Kutoka Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), ambapo Sista Anagradiness Mrumah, ambaye ni Katibu wa Shirika la Utoto Mtakatifu Taifa, anazungumzia mada juu ya “Heshima ya mtoto huchotwa kutoka mzazi”. Mimi ni mtangazaji wako Happiness Mlewa. Karibu sana Mzazi mwenzangu.

    L'articolo Je! wafahamu kuwa heshima ya mtoto huchotwa kutoka kwa mzazi? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    39 分
  • Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025
    2025/07/15

    Msikilizaji mpendwa karibu uungane nami Happiness Mlewa, kwenye kipindi cha Katekisimu Katoliki Shiriki, ambapo Padre Leonard Maliva, Paroko wa Parokia ya Ismani, na Mkurugenzi wa Utume wa Walei Jimbo la Iringa, anatoa mafundisho juu la Alama katika nembo ya Jubilei kuu 2025. Karibu

    L'articolo Fahamu maana ya Alama katika Nembo ya Jubilei kuu 2025 proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    57 分
  • Je, unafahamu kuwa Mama Bikira Maria ni Mama wa Matumaini?
    2025/07/04

    Karibu uungane nami Happines Mlewa katika kipindi cha Katekisimu shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, tukiangazia juu ya Mama wa Matumaini.

    L'articolo Je, unafahamu kuwa Mama Bikira Maria ni Mama wa Matumaini? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    55 分
  • Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria.
    2025/07/04

    Karibu uungane nami Agatha Kisimba katika kipindi cha Katekisimu Katoliki shirikishi, leo tutakuwa naDeodatus Katunzi, Mkurugenzi wa Radio Mbiu Sauti ya Faraja Kagera akitufundisha juu ya Matumaini na Mama yetu Maria.

    L'articolo Fahamu sifa ya matumaini ya Bikira Maria. proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    47 分